Wameanza kuonekana kwa mara ya kwanza mnamo mwaka wa kwenye LP ya The Main Source mnamo 1994 Fuck What You Think katika wimbo wa "Set it Off". Baadaye wakaingia mkataba na Bad Boy Entertainment, ambapo walishauriwa kubadili jina lao liwe fupi kuwa "The LOX", ambayo inasimama kama Living Off eXperience. Jadakiss ameanzisha kundi la The Warlocks kunako mwaka wa 1994 akiwa na washkaji zake Sheek Louch, Chris "Lil Mac" Pelkey, na Styles P. Akakutana na Dee na Wah wa Ruff Ryders (halafu kuongoza kampuni), na kuanza kazi kuzura kimapambano ya michano nje ya studio ya Ruff Ryders ambapo baadhi ya wasanii kama vile DMX wamefanya vibao vyao kwa mara ya kwanza. Yeye na baadhi ya marafiki zake walipewa fursa ya kushiriki kwenye shindano la "Jack the Rapper Competition" huko mjini Florida, ambapo Jadakiss aligunduliwa kipaji chake cha kupambana kirap. Maisha binafsi Īkiwa na umri wa 16, Jadakiss alikuwa rapa wa michano huru. Jadakiss ni mmoja kati ya wamiliki wa chapa ijulikanayo kama D-Block. Huyu ni mwanachama wa kundi zima la The LOX. ), anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Jadakiss, ni rapa kutoka nchini Marekani. The LOX, Styles P, Sheek Louch, DMX, Swizz Beatz, Raekwon, Jay-Z, Fat Joe, Rick Ross, Pharrell
0 Comments
Leave a Reply. |
Details
AuthorWrite something about yourself. No need to be fancy, just an overview. ArchivesCategories |